Julius na Aroni (walifariki Caerleon, leo nchini Wales, 304 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa katika dhuluma wa kaisari Diokletian[1].
Kabla yao aliuawa Albano, halafu wengine wengi kwa ukatili mkubwa.
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 22 Juni[2].
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/58970
- ↑ Martyrologium Romanum